Sunday, 25 August 2013

Rais Dk.Shein afanya mabadiliko ya Wizara mbali mbali za Serikali ya Mapinduzi

 Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraz la Mapinduzi
Dk.Ali Mohamed Shein,akimuapisha  Salum Maulid Salum, kuwa Katibu Mkuu
Ofisi ya Rais Ikulu na Utawala Bora,katika hafla iliyofanyika Ukumbi
wa Ikulu Mjini Zanzibar.[Picha na Ramadhan
 Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraz la Mapinduzi
Dk.Ali Mohamed Shein,akimuapisha Joseph Abdalla Meza,kuwa Katibu Mkuu
Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Idara Maalum za SMZ,katika hafla
iliyofanyika Ukumbi wa Ikulu Mjini Zanzibar


 Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraz la Mapinduzi
Dk.Ali Mohamed Shein,akimuapisha Mwinyiussi A.Hassan,kuwa Naibu Katibu
Mkuu (Tawala za Mikoa)  katika hafla iliyofanyika Ukumbi wa ikulu
Mjini Zanzibar
 Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraz la Mapinduzi
Dk.Ali Mohamed Shein,akimuapisha CDR Julius Nalimy Maziku,kuwa  Naibu
Katibu Mkuu (Idara Maalum za SMZ) katika hafla iliyofanyika Ukumbi wa
ikulu Mjini Zanzibar
 Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraz la Mapinduzi
Dk.Ali Mohamed Shein,akimuapisha  Yakout Hassan Yakout, kuwa  Naibu
Katibu Mkuu Ofisi ya Rais Kazi na Utumishi wa Umma,katika hafla
iliyofanyika Ukumbi wa ikulu Mjini Zanzibar
 Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraz la Mapinduzi
Dk.Ali Mohamed Shein,akimuapisha ALI Khamis Juma,kuwa Naibu Katibu
Mkuu (Ustawi wa Jamii Vijana Wanawake na Watoto),katika hafla
iliyofanyika Ukumbi wa ikulu Mjini Zanzibar























Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraz la Mapinduzi
Dk.Ali Mohamed Shein,akiwa katika picha ya pamoja na Viongozi na Naibu
katibu Wakuu wa Wizara mbali mbali baada ya kuwaapisha Ikulu Mjini
Zanzibar leo jioni.

No comments:

Post a Comment