Sunday, 7 July 2013

ZIARA YA RAIS WA ZANZIBAR NA MWENYEKITI WA BARAZA LA MAPINDUZI NCHINI CHINA




Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza  la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein,akisalimiana na Rais wa China Xi jinping alipofika Ikulu ya Mjini Beijing Nchini China akiwa katika ziara ya mualiko wa Serikali wa Jamhuri hiyo.[Picha na Ramadhan Othman,China.

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza  la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein,akiwatambulisha Viongozi katika ujumbe aliofuatana nao kwa Rais wa Jamhuri ya watu wa China Xi jinping, walipofika Ikulu ya Mjini Beijing Nchini China akiwa katika ziara ya mualiko wa Serikali wa Jamhuri hiyo.[Picha na Ramadhan Othman,China.

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza  la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein,akiwatambulisha Viongozi katika ujumbe aliofuatana nao kwa Rais wa Jamhuri ya watu wa China Xi jinping, walipofika Ikulu ya Mjini Beijing Nchini China akiwa katika ziara ya mualiko wa Serikali wa Jamhuri hiyo.

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza  la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein,(wa nne kushoto)akiwa na ujumbe wake katika mazungumzo na Rais wa China Xi Jinping,(wane kulia) katika Ikulu ya Mjini Beijing Nchini China leo, .[Picha na Ramadhan Othman,China.

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza  la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein,akisalimiana na Makamo wa Rais wa China Li Yuanchao,katika makaazi yake Mjini Beijing nchini China akiwa katika ziara ya mualiko wa Kiserikali wa Nchi hiyo.

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza  la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein,akisalimiana na Makamo wa Rais wa China Li Yuanchao,katika makaazi yake Mjini Beijing nchini China akiwa katika ziara ya mualiko wa Kiserikali wa Nchi hiyo.

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza  la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein,akiwa katika  mazungumzo na  Makamo wa Rais wa China Li Yuanchao,katika makaazi yake Mjini Beijing nchini China akiwa katika ziara ya mualiko wa Kiserikali wa Nchi hiyo.

MKE WA RAIS WA ZANZIBAR MAMA MWANAMWEMA SHEIN
AKISALIMIANA NA MKE WA MAKAMO WA RAIS WA CHINA MAMA LI
YUANCHAO,ALIPOWASILI KATIKA MAKAAZI YA MAKAMO WA RAIS MJINI BEIJING
NCHINI CHINA KATIKA ZIARA YA KISERIKALI.

MKE WA RAIS WA MAMA MWANAMWEMA SHEIN AKISALIMIANA NA
MAKAMO WA RAIS WA CHINA  LI YUANCHAO,ALIPOWASILI KATIKA MAKAAZI YA
MAKAMO WA RAIS MJINI BEIJING NCHINI CHINA KATIKA ZIARA YA
KISERIKALI,KATIKATI NI RAIS WA ZANZIBAR NA MWENYEKITI WA BARAZA LA
MAPINDUZI DK.ALI MOHAMED SHEIN.

MKE WA MAKAMO WA RAIS WA CHINA MAMA LI
YUANCHAO,AKISALIMIANA NA RAIS WA ZANZIBAR NA MWENYEKITI WA BARAZA LA
MAPINDUZI DK.ALI MOAHAMED SHEIN, KATIKA MAKAAZI YA MAKAMO WA RAIS
MJINI BEIJING NCHINI CHINA AKIWA KATIKA ZIARA YA KISERIKALI,





No comments:

Post a Comment