Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi akiwa katika picha ya pamoja na Ujumbe wa Chama cha Ukombozi waPalestina { PLO } pamoja na wenyeji wao wa Chama cha Mapinduzi.Kushoto ya Balozi Seif ni Mjumbe wa K amati Kuu ya PLO ambaye ni Kiongozi TaysearIshaled , Saleh Raafat na nyuma yao Balozi wa P alestina Tanzania Nasri Abujaish. Kulia ya Balozi ni Katibu wa Sekrite rieti ya CCM uhusiano wa Kimataifa Balozi Asha Rose Migiro.
Katibu wa Sekriteriet ya CCM Uhusiano wa Kimataifa Balozi Asha R
Kiongozi wa Ujumbe wa Chama cha Ukombozi wa KipalestinaTaysearIs
Balozi wa Uholanzi Nchini Tanzania Dr. Ad Koekkoek akiagana na Makamu wa Pili
Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar BaloziSeif Ali Iddi akimpatia zawadi ya Kasha Baloziwa Uholanzi Nchini Tanzania Dr. Ad Koekkoek kama ishara ya ukumbushok
No comments:
Post a Comment