Saturday, 27 April 2013




 Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi akiwa pamoja na Ujumbe wa Viongozi wa Makampuni ya Maji na Umeme               { Botjheng Water na Megtron } ya Afrika Kusini pamoja Uongozi wa Wizara ya Ardhi , Makazi, Maji na Nishati aliokutana nao Ofisini kwake Vuga Mjini Zanzibar.







Mwakilishi wa Makampuni ya Botjheng Water na Megatron ya Afrika Kusini Bwana Dean Hiran  akiwa  pamoja na Viongozi wa Makampuni hayo wakizungumza na Uongozi wa Wizara ya Ardhi, Makazi, Maji na Nishati chini ya Uenyekiti wa Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi.



Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi akiwa katika Picha ya pamoja na Uongozi wa Makampuni ya Maji na Umeme { Botjheng Water na Megatron } ya Afrika Kusini mara baada ya kumaliza mazungumzo yao.
Picha nan Hassan Issa wa – OMPR – ZNZ.




No comments:

Post a Comment